Tanzania in Figures 2016

Tanzania in Figures 2016

Tanzania in Figures 2016 provides important demographic and socio-economic statistics, as well as development indicators of the United Republic of Tanzania for the year 2016. This booklet contains…

Read More

Mhe. Balozi Ernest Jumbe Mangu awasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe Rais Paul Kagame

Balozi wa Tanzania Mhe. Ernest Mangu amewasilisha hati za utambulisho kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda kwa Mhe. Paul Kagame, Rais wa Jamhuri Rwanda tarehe 02 Juni, 2018.Mhe. Balozi Mangu ameahidi…

Read More

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar watembelea Ofisi za Ubalozi

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar watembelea Ofisi za Ubalozi na kujionea utekelezaji wa shughuli za Ubalozi hususan zile za Kitengo Cha Uhamiaji.

Read More
Balozi akiwa na Maafisa wa Ubalozini

Tafrija ya watumishi wa Ubalozi wa Kigali kumuaga Balozi Ali Idi Siwa

Katika Tafrija ya watumishi wa ubalozi wa Kigali wakimuaga Balozi Ali Idi Siwa aliyemaliza muda wake nchini Rwanda. Pichani Mheshimiwa Balozi akiwa na Familia yake. na pia Balozi akiwa na Maafisa wa Ubalozini.…

Read More

42nd Dar es Salaam International Trade Fair

Tanzania Trade Development Authority (TanTrade) was established by the Tanzania Trade Development Authority Act No 4 of 2009 that repealed the Board of External Trade Act No. 5 of 1978 and the Board of…

Read More

Waziri Mkuu Akutana na Mabalozi Wa Tanzania Nchini Rwanda na Urusi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchini Urusi na Rwanda kutumia fursa hiyo kwa kutangaza vivutio vilivyopo nchini ili kuwavutia wawekezaji kuja kuwekeza kwenye sekta…

Read More

Mabalozi wa Tanzania Nchini Rwanda na Urusi Wamuaga Makamu wa Rais Tayari Kwa Kuelekea Vituo Vyao

Balozi wa Tanzania Nchini Rwanda  Mhe.Ernest Mangu na Meja Jenerali Mstaafu Simon Marco Mumwi  wa  Urusi leo wamekutana na kuzungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More

Mhe. Ernest Mangu aapishwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Rwanda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 21 Machi, 2018 amewaapisha Meja Jenerali Mstaafu Simon Marco Mumwi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi na IGP Mstaafu Ernest…

Read More