MHESHIMIWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI RWANDA AKUTANA NA TIMU YA MBIO ZA MAGARI YA ASAS INAYOSHIRIKI KATIKA MASHINDANO YA MBIO ZA MAGARI YANAYOFANYIKA RWANDA
Mheshimiwa Dkt. Habib Gallus Kambanga, Balozi wa Tanzania nchini Rwanda amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya mbio za magari Asas ambayo imewasili nchini Rwanda kwa ajili ya kushiriki katika mashindano ya mbio za magari ya… Read More








