News and Resources Change View → Listing

KILELE CHA MAADHIMISHO YA NNE YA SIKU YA LUGHA YA KISWAHILI DUNIANI YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Tarehe 06 -07 Julai, 2025 Ubalozi  ulishiriki Maadhimisho  ya Kilele cha Sherehe za Siku ya Kiswahili Duniani kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyoandaliwa na Serikali ya Rwanda, Maadhimisho hayo…

Read More

BALOZI DKT. KAMBANGA AKUTANA NA WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA

Tarehe 12 Juni, 2025,  Mhe. Dkt. Habib Gallus Kambanga, Balozi wa Tanzania Nchini Rwanda amekutana na Mhe. Prudence Sebahizi, Waziri wa Biashara na Viwanda wa Rwanda ambapo wamejadili uendelezaji wa…

Read More

BALOZI DKT. KAMBANGA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA MAUAJI YA KIMBARI

Tarehe 22 Mei, 2025 Mhe. Dkt. Habib G. Kambanga, Balozi wa Tanzania nchini Rwanda pamoja na Watumishi wa Ubalozi walitembelea Makumbusho ya Mauaji ya Kimbari nchini Rwanda

Read More

Mhe. Dkt. KAMBANGA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO

Tarehe 21 Mei, 2025 Mhe. Dkt. Habib Gallus Kambanga aliwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda  

Read More

BALOZI DKT. KAMBANGA AWASILI KITUONI

Mhe. Balozi mteule Dkt. Habib Gallus Kambanga amewasili rasmi nchini Rwanda kwa ajili ya kuendelea kutekeleza majukumu yake kama Balozi wa Tanzania Nchini Rwanda. 

Read More

TRAVEL ADVISORY NO. 16

Travel Advisory No. 16 of 11th  March, 2025 Regarding the Outbreak of MPOX 

Read More

KIKAO KAZI CHA WADAU NCHINI RWANDA

Tarehe 17 Oktoba, 2024 Ubalozi wa Tanzania nchini Rwanda  kwa kushirikiana  na Wizara ya Uchukuzi, TASAC na ofisi ndogo ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) umefanya kikao kazi na Wadau…

Read More