News and Resources Change View → Listing

MHESHIMIWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI RWANDA AKUTANA NA TIMU YA MBIO ZA MAGARI YA ASAS INAYOSHIRIKI KATIKA MASHINDANO YA MBIO ZA MAGARI YANAYOFANYIKA RWANDA

Mheshimiwa Dkt. Habib Gallus Kambanga, Balozi wa Tanzania nchini Rwanda amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya mbio za magari Asas ambayo imewasili nchini Rwanda kwa ajili ya kushiriki katika mashindano ya…

Read More

Mheshimiwa Dkt. Habib Kambanga, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Rwanda amekutana Wakala wa Barabara za Taifa Tanzania (TANROADS

Mheshimiwa Dkt. Habib Kambanga, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Rwanda amekutana na kuzungumza na timu ya wataalam ya wataalam kutoka Wakala wa Barabara za Taifa Tanzania (TANROADS) ambao wapo…

Read More

Balozi Dr. Kambanga amekutana na timu ya wataalam kutoka Wizara ya Uchukuzi na Wizaraya mambo ya Ndani

Mheshimiwa Dkt. Habib Kambanga, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Rwanda amekutana na kuzungumza na timu ya wataalam ambayo imefanya ziara nchini Rwanda kwa lengo la kujifunza kuhusu mfumo wa…

Read More

Balozi wa Tanzania nchini Rwanda ametembelea kampuni ya kuzalisha umeme ya Rusumo Power Plant Limited (RPCL

Mheshimiwa Habib Kambanga, Balozi wa Tanzania nchini Rwanda ametembelea kampuni ya kuzalisha umeme ya Rusumo  Power Plant Limited  (RPCL) kukagua utekelezaji wa majukumu ya kampuni hiyo inayomilikiwa…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI RWANDA ATEMBELEA KIWANDA CHA MOUNT MERU SOYCO LIMITED

Mheshimiwa Dkt. Habib Kambanga, Balozi wa Tanzania nchini Rwanda ametembelea kiwanda cha uzalishaji wa mafuta ya kupikia, sabuni na vyombo vya plastiki cha Mount Meru Soyco Limited kilichopo Kayonza, Rwanda.…

Read More

Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA NEISA 2026

Rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki katika mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia barani Afrika (NEISA) unaofanyika Jijini Kigali…

Read More

MHE. AMB. MAHMOUD THABIT KOMBO AKARIBISHWA IKULU NCHINI RWANDA

Tarehe 30 Machi, 2026  Mhe. Amb. Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikutana na Mhe. Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda…

Read More

TANZANIA YASHIRIKI KATIKA KONGAMANO LA NNE LA SAYANSI NA TEKNOLOJIA NA UBUNIFU LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo  akiambatana na Wajumbe wengine kutoka Tanzania wanahudhuria Kongamano la Nne la Sayasi, Teknolojia na Ubunifu la…

Read More