News and Events Change View → Listing

Mhe. Dkt. KAMBANGA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO

Tarehe 21 Mei, 2025 Mhe. Dkt. Habib Gallus Kambanga aliwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda  

Read More

BALOZI DKT. KAMBANGA AWASILI KITUONI

Mhe. Balozi mteule Dkt. Habib Gallus Kambanga amewasili rasmi nchini Rwanda kwa ajili ya kuendelea kutekeleza majukumu yake kama Balozi wa Tanzania Nchini Rwanda. 

Read More

TRAVEL ADVISORY NO. 16

Travel Advisory No. 16 of 11th  March, 2025 Regarding the Outbreak of MPOX 

Read More

KIKAO KAZI CHA WADAU NCHINI RWANDA

Tarehe 17 Oktoba, 2024 Ubalozi wa Tanzania nchini Rwanda  kwa kushirikiana  na Wizara ya Uchukuzi, TASAC na ofisi ndogo ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) umefanya kikao kazi na Wadau…

Read More

WAJUMBE WA BODI YA TPA YATEMBELEA RWANDA

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania wakiongozwa na Dkt. Ellinam J. Minja, Makamu Mwenyekiti wamefanya ziara ya kikazi nchini Rwanda na kufanikiwa kutembelea Ubalozi wa…

Read More

OFISI NDOGO YA TPA NCHINI RWANDA YAADHIMISHA WIKI YA UTOAJI HUDUMA KWA WATEJA

Katika kuadhimisha wiki ya Huduma kwa Wateja, tarehe 07 Oktoba, 2024 Watendaji wa Ofisi ndogo ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania(TPA)  iliyopo nchini Rwanda imefanya mazungumzo na Balozi wa…

Read More