Baadhi ya Mabalozi Wanaoziwakilisha nchi mbalimbali hapa Rwanda Wamefika Ubalozini tarehe 4 Machi, 2024 kusaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Mhe. Ali Hassani Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Get all latest updates from the High Commission in Your Inbox