Mwenyekiti wa Diaspora nchini Rwanda ndugu Patrick Joseph Dittfurth asaini kitabu cha maombolezo tarehe 05 Machi, 2018 katika Ubalozi wa Tanzania nchini Rwanda, kufuatia kifo cha Mhe. Ali Hassani Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

