Rais Magufuli amewateua aliyekuwa IGP, Ernest Mangu kuwa Balozi nchini Rwanda na Meja Jenerali Mstaafu, Simon Mumwi kuwa Balozi nchini Urusi. Wateule wote wataapishwa Machi 21 Ikulu Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 5:00 asubuhi

  • Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua IGP Mstaafu, Ernest Mangu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda na Meja Jenerali Mstaafu Simon Michael Mumwi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi. Mabalozi wateule hao wataapishwa kesho Machi 21, 2018, Ikulu jijini Dar.