Jumla Washiriki 440, wanafunzi 365,  Walimu na Viongozi 75 kutoka shule za Msingi na Sekondali  wakiongozwa na Mheshimiwa Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Dkt. Charles E. Msonde wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mashindano ya michezo kwa Wanafunzi  wa Nchi za Jumuiya ya Afika Mashariki - FEASSA yanayofanyika  hapa Rwanda kuanzia tarehe 17-28 Agosti, 2023. Tanzania  inashiriki katika michezo ya Soka, Mpira wa Kikapu, Mpira wa Wavu, Hockye, Tennis, Riadha, Mpira wa Mikono na Netball.